Msemaji wa Serikali ya Tanzania Gerson Msigwa leo ametembelea katika ofisi za Mwananchi Communication LtD Tabata jijjini Dar es Salaam, Wachapishaji wa magazeti ya Mwananchi, Thecitizen na Mwanaspoti, mbali na kujionea shughuli za uzalisha wa magazeti pia amefanya mahojiano na wahariri kuhusu mambo mbalimbali