Duration 2:33

Wakulima zaidi ya 5000 wapata elimu ya kilimo cha alizeti Manyara

3 887 watched
0
16
Published 4 Jun 2019

Wakulima 5600 wamepata elimu na hamasa juu ya kilimo cha zao la alizeti mkoani Manyara kufuatia kuwepo kwa uhakika wa soko wa zao hilo linalotajwa kuwa ni mkombozi wa wakulima katika kipindi cha mvua chache. #AzamTVUpdates #AzamTVApp #AzamNews

Category

Show more

Comments - 1