Muigizaji na mcheshi maarufu Papa Shirandula amezikwa nyumbani kwake Namisi - Bukeko katika kaunti ya Busia. Mwili wake ulisafirishwa Jumapili usiku kutoka Nairobi. Waombolezaji kutoka Nairobi walitengwa na wale wa Busia huku familia tu ikiruhusiwa karibu na kaburi.
Category
Show more
Comments - 93
Related videos for Papa shirandula azikwa nyumbani kwake Busia: