Dk. Mwinyi amesema hayo leo katika kilele cha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma, katika hafla iliofanyika Ukumbi wa Sheikh Idrisa Abdul-wakil, Kikwajuni Jijini Zanzibar.
Angalia Video Hii Mwanzo mwisho , Kisha Subscribe ili uendelee Kupata Habari Zote.
Follow Ktv Tz Online
Facebook | KTV TZ ONLINE
INSTAGRAM |@ktv_tz_online
Wasiliana nasi kupitia number
+255 625 323 932
Ktv Tz Online Journalists
cc: Sadia Rashid
cc: Sauti Byego
cc: Maryam Busara
Camera Department"
Dadi Ali
Omar (OJ)
Nassor Shaibu
Abdallah Juma
Editors:
Juma Maulid
Dadi Ali
Video Zingine:
Angalia hapa - Diamond Platnumz Alivyolisha watoto yatima
- Ali Kiba akiwa Oman
/watch/gP9ye7QajQQay/watch/Y9mrg7gbcsMbr
@ebrahimosman54773 years agoUsiwalee waokua hawataki kibadilika wamalize tu inshaa allah.
@
@faisalmohamed27463 years agoUnamfanyia kejeli kiongozi ambaye anamsujudia allah ktk msikiti.
@
@jifunzemengi16203 years agoAssalaam alaykym naomba muangalie hilo tangazo haliendani na maadili yetu.
@
@salamakhamis80923 years agoJamani yote tisa kumi nihizi barakoa nikwaajili ya korona au ndio mtindo wakisasa? 1
@
@mosaidi26333 years agoWaafrika ni tabu, jaribu kuwaongezea mshahara mara mbili ili uwapime ubadhirifu wao. 3
@
@mrdullayo16513 years agoHongera rais mwinyi jitahidi na majukumu yako mungu atakujaalia na sisi typo nyuma yako.
@
@stonetown5783 years agoAllah akulinde mh. Raisi lkn humo makazini wafanyakazi ni majeuri sana hasa zrb.
@
@mussajuma973 years agoWaonde haokwenda mbele kwenye uchumi wa kijani. 1
@
@ulipoulipotupo75643 years agoKama mageuzi ulito yafanya kuwa watu pemba na unguja tambua zambi za mu muwaji ata akitubu aina toba asa kwa kuuwa kwa makusudi.
@
@royaltourspemba73013 years agoMbona pemba rais haji aliahidi kila linalofanyika unguja na pemba lifanyike. 5
@
@samirahassan32123 years agoNaww tushachoka na hadisi zako za sungura na ndizi fukuza smz imejaa majambazi ya pesa za uma.
@
@samirahassan32123 years agoMm ni ccm ila natakakukubari maneno ya wapinzani' punda ndiowalewale wanabadilisha soji tu.
@
@ismailjuma36923 years agoYaani iko hivi, maneno matam kama asali, vitendo vichungu kama shubili.
@
@faisalmohamed27463 years agoWatu kuweni na subra maneno machafu hayatasaida kitu ni kukupa dhambi tu muda bado hata mtoto miezi minane ndio anatambaa hakuja majibu kuleta maendeleo inahitaji tuwe na dhana nzuri kwa kiongozi.
@
@alishiyaalitaqwa52483 years agoNajeuri muheshimiwa watumishi wana jeuri sana ukifuata huduma unaweza kukata tamaa kwa maneno yao machafu wanayo tujibu na zarau. 1
@
@DrBasinda83 years agoRaisi anajitahid ila watu alowachagua kufanya nao kazi ndio wanamuangusha. Sio wawajibikaji wala waadilifu mabadiliko hayawez kuletwa na mtu mmoja.
@
@user-go3bk6wr8u3 years agoHana ishu wewe rahisi kama sheni ila wewe umejaliwa domo lako nyumba ya maneno tu. 2
@
@king-uw8ju3 years agoHukuchaguliwa na wazanzibari umechaguliwa na zec. 2
@
@muudathirsadru8213 years agoNingemuimba mh rais aregeze kdg hali imekuwa ngumu sana zanzibar vitu vinapanda bei kila kukicha blue economic it kills us.
@
@patimabilali78203 years agoNgom imezid kuwa ngumu wanawake kma midume wanavyohaswa kazi tena za matofali n vibaruwa atar sox union fek.
@
@kreamagdfsa16973 years agoUkiona mtu haeleweki fukuza kazi maana hizo ni dharau kwa sababu wanajua majukumu yao pia wao sio watoto kama kila leo wapewe onyo inachosha kwa kweli. 1
@
@jituakilimali153 years agoNdugu raisi punguza ukubwa wa baraza la mawaziri huitaji mawaziri katika za raisi wala makamo wa raisi huko ni kutumia pesa zetu bila ya muhimu wabaki waziri kila wizara.
@
@dinnahw3 years agoRais wetu. Hebu fanya uende hospital ya mnazimoja kwa wazazi hasa kisha uje twambia yaendayo. Pia watoto wa skuli ikiwa hawajui kusoma kiswahili wataendeleaje. ...Expand
@
@gangmore90913 years agoMwizi hawezi kumlinda mwezake dhulma hailetii maendeleo munafanya dhulma kutoa roho z watu mutegeme kufanya maendeleo nyinyi bila kufanya haki kuingia. ...Expand
@
@fathiyasalim39463 years agoTatizo walio wengi hawajakuchagua kwa kura nyingi. Ni mapinduzi tu ndio yalokuweka. Mwinyi kuwa mkweli huoni taabu kusema umechaguliwa? 6
@
@salumnassor65553 years agoHawabadiliki hao mh raisi mazali hakuna hata mmoja waliochukuliwa hatua ya ubadhirifu wa mali ya umma na wewe umesema hufukuwi makaburu, kwa iyo hawaogopi. ...Expand
@
@rashidally11493 years agoNaona unawafuga tu hao mafisadi kila siku utachukua hatua sahv miezi 8 sijui hio hatua itachukuliwa lini wanafunzi wanakosa mikopo na wanaopata mkopo hela. ...Expand1
@dinnahw3 years agoRais wetu. Hebu fanya uende hospital ya mnazimoja kwa wazazi hasa kisha uje twambia yaendayo. Pia watoto wa skuli ikiwa hawajui kusoma kiswahili wataendeleaje. ...Expand
@
@gangmore90913 years agoMwizi hawezi kumlinda mwezake dhulma hailetii maendeleo munafanya dhulma kutoa roho z watu mutegeme kufanya maendeleo nyinyi bila kufanya haki kuingia. ...Expand
@
@salumnassor65553 years agoHawabadiliki hao mh raisi mazali hakuna hata mmoja waliochukuliwa hatua ya ubadhirifu wa mali ya umma na wewe umesema hufukuwi makaburu, kwa iyo hawaogopi. ...Expand
@
@rashidally11493 years agoNaona unawafuga tu hao mafisadi kila siku utachukua hatua sahv miezi 8 sijui hio hatua itachukuliwa lini wanafunzi wanakosa mikopo na wanaopata mkopo hela. ...Expand1
Related videos for DKT MWINYI NATOA ONYO LEO / HATUA KALI KUCHUKULIWA / KUNA WATU HAWAJABADILIKA: