MwanaHALISI TV imezungumza na Mwenyekiti wa Ngome ya Vijana wa ACT-Wazalendo, Abdul Nondo kuhusu safari yake ya uanaharakati ikiwemo magumu anayopitia katika kutetea haki za watu mbalimbali nchini akiwa kama mwanaharakati kijana. Hii ni 'Mtu Kati' ya MwanaHALISI TV, , utafahamu mengi usiyoyajua kumhusu.
🔘JE, NA WEWE UNA HABARI?
🔘WASILIANA NA MwanaHALISI TV ( +255 767 400402),
🔘WhatsApp ( +255 692 318213)
🔘Email: mwanahalisitvnews@gmail.com
🔘KWA HABARI ZA KILA SIKU: http://mwanahalisionline.com