Duration 5:5

CEO BARBARA Ataja MAMILIONI YALIYOCHANGWA MPAKA SASA kwa AJILI ya UWANJA, Afunguka AFYA za WACHEZAJI

72 595 watched
0
375
Published 23 Dec 2021

C.E.O BARBARA - Kiasi cha PESA KILICHOCHANGWA Mpaka Sasa UJENZI wa UWANJA wa SIMBA... MTENDAJI mkuu wa Simba, (CEO) Barbara Gonzalenz, amezungumza na Global TV kuhusiana na hali ya kiafya ya wachezaji wao waliokuwa wanaumwa, lakini pia kiasi cha fedha kilichochangwa kwa ajili ya ujenzi wa uwanja wao. ⚫️ SIKILIZA + 255 GLOBAL RADIO LIVE: http://ndstream.net/globalradio/ ⚫️ Kwa UPDATES zote, Download GLOBAL APP: ⚫️ ANDROID:http://bit.ly/38Lluc8 ⚫️ iOS:https://apple.co/38HjiCx ⚫️ VISIT COMEDY PLAYLIST: /playlist/PL22mc2rU91vDNQjLA5ikELAOcJp5XrakD ⚫️ JE, NA WEWE UNA HABARI? ⚫️ WASILIANA NA GLOBAL TV ONLINE: ( +255 712 101 629), ( +255 784 888982) ⚫️ Email: globaltvbest@gmail.com OR abbymrisho@gmail.com ⚫️ OUR PLAYLISTS: ⚫️ MICHEZO na BURUDANI: /playlist/PL22mc2rU91vD-h-a328gR3qltQXYWVQiO ⚫️ HISTORIA ZA VIONGOZI ZA KUSISIMUA: http://bit.ly/mikasa_ya_kusisimua ⚫️ GLOBAL RADIO TV: http://bit.ly/255globalradio ⚫️ EXCLUSIVE INTERVIEW: http://bit.ly/exclusive_interviews ⚫️ Subscribe Global TV http://bit.ly/globaltvonline

Category

Show more

Comments - 61
  • @
    @mohamedibrahimu91393 years ago Big up kwa simba yetu kuwa na uongozi wenye vision kubwa kwa maslahi ya club yetu ili kuifikisha team katika muonekano mzuri wa maendeleo ili tutofautiana na viteam vidogo kama utopolo. 7
  • @
    @barakajohnh.b96973 years ago Mungu akulinde sikuzote za maisha yako. 2
  • @
    @rashadyabdalla27343 years ago Acha zko ww edward peter ata nyie utopolo kusikia tu simba wanatka kujenga uwanja na nyie mabosi wenu washaanza hashuo eti na ss tutajenga uwanja mna hela nyie, simba nguvu moja tuuu. 6
  • @
    @yusufmohamed88743 years ago Tupo tayari kuchangia timu yetu ya simba sport club. 2
  • @
    @glorykapenja94733 years ago Watu elf 30 ni wadogo sana angalieni hilo.
  • @
    @husseinchiaseeds26533 years ago Huyu ndiye kiongozi wa mpira sio yule mzungu toleo la 7.
  • @
    @mariamemadoshi55403 years ago Simnasema mnapesa mbona mnatembeza mabakuli pumbavu kabisa.
  • @
    @daimavlog3 years ago Njooni tuungane youtube kuna vitu vingi vizuri ntakuleteeni.
  • @
    @morandraymond86023 years ago Mo alisema mkinipa team nitajenga uwanja sasa hii michango inatoka wapi tena au wanachama wa simba hawajitambuwi yani ukiwa na pesa alafu unawo waongoza . ...Expand
  • @
    @kaundasutikaunda77693 years ago Utopolo mnakuja kuleta umbea kwenye habari za watu. Mbuzi nyie. 4
  • @
    @samwelyesaya12023 years ago Tunawaomba viongozi kuangalia mbali zaidi tujenge uwanja mkubwa unaoendana na idadi kubwa ya mashabiki wa. Simba ujengwe uwanja unaoweza kuingiza watazamaji elfu sitini 600. 2
  • @
    @leilaadamu48173 years ago Tunupiga mwingi sn tueende kuwa na moyo huu wakuchangia maendeleo ya timu yetu. 1
  • @
    @innocentjoram41543 years ago Ceo acha kudanganya hatujaona tarifa ya madakitari wewe unatudanganya mwisho wa cku tutajua tyuuu.
  • @
    @mkubwajtz62493 years ago Basi walipe mishahala waache kusingizia mafua maana tunajua kuhusu uwanja ni ngumu. 1
  • @
    @esterkomba40723 years ago Wewe walipe mishahara uliambiwa wanadai fara ww. 1
  • @
    @hamzahassan20793 years ago Umeenda kuomba msaada
    kwanduguzako. Ulewako useme sisi ni masikini mmbwa wewe. Simba sio walemavu. Mtoto wakiindi.
    1
  • @
    @morandraymond86023 years ago Mo alisema mkinipa team nitajenga uwanja sasa hii michango inatoka wapi tena au wanachama wa simba hawajitambuwi yani ukiwa na pesa alafu unawo waongoza . ...Expand
  • @
    @morandraymond86023 years ago Mo alisema mkinipa team nitajenga uwanja sasa hii michango inatoka wapi tena au wanachama wa simba hawajitambuwi yani ukiwa na pesa alafu unawo waongoza . ...Expand