@felixmagulu61423 years agoHii yanga ilikuwa moto sana, mdogomdogo wananchi tuwe na subira tutarudi katika ubora. 2
@
@damianmakala29134 years agoJaja! Till now namkumbuka sana huyo straika sijui kitu gani kilimsibu ndani ya soka la bongo sijui misumari dah sijui nini! Ila jamaa alikuwa anajua id="hidden2" aise goli la pili lilikuwa ni uthibitisho tosha kuwa jamaa ni fundi wa kutupia kambani!. ...Expand1
@
@sniperboy70984 years agoHao ndo walikuwa wabrazil so wasimba ni wauza mitumba. 2
@
@sinzasoundbandtanzania620010 years agoMatch: young africans fc vs azam fc in a community shield cup 2014 game. Results: young africans (yanga) 3: azam fc- 0. Scorers: gielson dos santos santana " jaja 2 and simon msuva 1. 7
@
@seurisilanga19974 years agoHawa ndio wabrazil wanaojua mpira xio wale.
@
@mnyopi8 years agoNawezaje kupata ile historia ya fc barcelona na real madrid inayosomwa na charles hilary naomba ata kwa whatsapp 0762161655. Mliionyesha ata kabla ya mechi ya barcelona aliyoshinda goli 6 suarez akafunga 4 penati 2.
@
@WagulimbaOGonline4 years agoHawa ndo walikuwa wabrazili sasa sio wale mikia. 1
Related videos for Yaliyojiri Ngao ya Jamii Yanga 3 - 0 AzamFC: