Duration 12:7

Pigo kubwa Kigogo mwingine aikimbia CHADEMA

92 143 watched
0
209
Published 9 Jan 2018

Aliyekuwa mjumbe wa Kamati Kuu ya Chadema, Bodi ya Udhaminia, na Mshauri wa Mameya wa Dar es Salaam, Muslim Hassanal ametangaza kujivua uanachama wa Chama hicho pamoja na nafasi zake zote za Uongozi na kuhamia Chama cha Mapinduzi (CCM). Tukio hilo limetokea leo katika ukumbi wa Check Point Pugu Dar es Salaam ambapo Hassanal alirudisha kadi ya Chadema na kukabidhiwa mpya ya CCM na Makamu Mwenyekiti CCM bara, Philip Mangula.

Category

Show more

Comments - 95